• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • People of Simanjiro
      • Hali ya Hewa
      • Economic Activities
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Moto
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Law
      • Procurement and supply
      • Bees
      • Election
      • ICT
    • Idara
      • Administration and Management
      • Agriculture and Irrigation
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Health
      • Land,Natural Resources and Environment
      • Community Development
      • Finance and Trade
      • Works and
      • Envirnment and Cleanliness
      • Water
    • Departiment/Units Activities
    • Linki ya Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mineral Extraction
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Mipango na Mazingira
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • By Laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Report
  • Kituo cha Habari
    • Notice to the Public
    • National and Office gallery
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Community Development

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII


Idara ya Maendeleo ya Jamii ni Idara muhimu iliyopo ndani ya Halmashauri ya Itilima. Ndani ya idara hii kuna vitengo mbalimbali vinavyofanya kazi.


Vitengo hivyo ni :-


Kitengo cha Ustawi wa Jamii

Kitengo cha kudhibiti UKIMWI

Kitengo cha Jinsia

Kitengo cha vijana

Kitengo cha kuratibu Asasi Zisizo za Kiserikali

Kitengo cha CHF


KITENGO CHA USTAWI WA JAMII


Kitengo cha Ustawi wa Jamii ni kitengo kinachofanya kazi za kuhudumia jamii kupitia programu mbalimbali za kijamii. Programu zilizopo chini ya Kitengo cha Ustawi wa Jamii ni


Programu za huduma kwa jamii

Kuzishauri idara mbalimbali katika utekelezaji wa majukumu yao ambayo yanailenga jamii mojakwa moja, ikiwemo elimu,afya, kilimo,miundombinu na maendeleo yanayomgusa mwananchi.

Utatuzi wa migogoro na matatizo ya kifamilia

Jamii inayostawi ni ile ambayo inaishi kwa amani na maelewano.  Kitengo hiki kipo kwa ajili ya kuunganisha familia . Kitengo hiki hufanya kazi kwa kuzingatia sheria za nchi. Migogoro inayozingatiwa hapa ni :-

Migogoro ya ndoa, ambapo kazi ya Kitengo ni kupatanisha wanandoa kasha warudi kuishi kwa amani

Migogoro kati ya wazazi na watoto wao. Kuna baadhi ya familia ambazo hukosa maelewano kati ya wazazi na watoto wao. Hivyo kitengo hufanya kazi ya kuwapatanisha wazazi hawa na watoto wao.

ANGALIZO:Kitengo hakina mamlaka kisheria kuvunja ndoa za watu,hivyo suluhu inaposhindwa kupatikana, Ofisi hupeleka shauri mahakamani ambapo kwa ajili ya ufumbuzi zaidi.


Programu ya Ulinzi na Usalama wa mtoto

Ulinzi na Usalama wa mtoto ni muhimu sana katika kujenga taifa lililo bora. Programu ya Ulinzi na Usalama wa mtoto katika Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu inatekelezwa ikiwa chini ya Kamati ya Ulinzi na Usalam wa Mtoto. Ulinzi na usalama wa mtoto unafanyika kwa kuzingatia sheria ya mtoto ya mwaka 2009. Ulinzi na usalama wa mtoto ni muhimu ili;-

Kuzuia na kukomesha matendo ya unyanyasaji wa watoto .

Kotokomeza ukiukwaji wa haki za watoto kulingana na sheria ya mtoto ya mwaka 2009.

Kutoa elimu kwa jamii ya ulinzi na usalama wa mtoto

KITENGO CHA KUDHIBITI UKIMWI

Kitengo cha kudhibiti UKIMWI ni kitengo kinachofanya kazi kwa kushirikiana na TACAIDS. Kazi kuu za kitengo hiki ni:-


Kutoa elimu kwa jamii kuhusu UKIMWI na athari zake.

Kutoa elimu juu ya kuepuka maambuzi ya UKIMWI ikiwepo kugawa kondomu pale inapobidi.

Kutoa msaada kwa waathirika wa UKIMWI/VVU kupitia vikundi vyao vilivyosajiliwa kwa kuwapatia ruzuku ili waweze kuendesha shughuli zao za kiuchumi.

Kutoa ushauri kwa waathirika ili wasikate tama ya maisha.

KITENGO CHA JINSIA

Kitengo hiki kipo ili kusaidia wanawake kuweza kujikwamua kiuchumi. Vikundi vya wanawake vilivyosajiliwa huweza kupatiwa mkopo. Ambapo kuna mkopo ambao hutoka moja kwa moja Wizarani kupitia Halmashauri na fedha zinazotengwa na halmashauri katika mapato yake ya ndani  ambapo wanawake ambao vikundi vyao vinakidhi vigezo ndio huweza kupewa mikopo.



KITENGO CHA VIJANA

Kuwaunganisha vijana ili waweze kuendesha shughuli zao za kiuchumi kupitia njia ya mikopo. Mikopo hii hitolewa na Halmashauri ,hivyo mara pale fungu linapokuwa tayari vijana ambao vikundi vyao vimesajiliwa huweza kupatiwa mikopo ili waweze kujikwamua kiuchumi.


KITENGO CHA KURATIBU ASAZI ZISIZO ZA KISERIKALI

Kitengo hiki kinahusika katika kuratibu shughuli za maendeleo zinazofanywa na mashirika yasiyo ya ki-serikali.



KITENGO CHA CHF

Kitengo hiki hufanya kazi kwa kushirikiana na menejiment ktika kusimamia na kuratibu shughuri zote za Mfuko wa Afya ya jamii ikiwemo kuhamashisha wananchi kujiunga,kupata dawa na kupewa tiba kwa jamii ambayo inahusika.

Matangazo

  • Heri ya Kumbukumbu ya Kuzaliwa Mhe Rais Dr. John Pombe Magufuli October 29, 2019
  • Milioni 165,800,000 zatolewa kwa Vikundi vya Wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu May 30, 2019
  • Tangazo la siku mazoezi November 24, 2017
  • Taarifa ya ujio wa fedha November 08, 2017
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Waziri Jafo awapa tano Mradi wa Uimarishaji wa mifumo katika sekta ya Umma PS 3

    September 14, 2019
  • DC azindua soko la Madini ya Vito Simanjiro

    August 26, 2019
  • Mnyeti ampongeza DED Simanjiro

    July 04, 2019
  • Simanjiro yaanza kukusanya mapato kupitia watumishi wa Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2019/2020

    June 28, 2019
  • Ona vyote

Video

Mkuu wa Mkoa afuta vyeo walimu wakuu 42
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Tangazo la Viwanja
  • Mission and Vision
  • Marudi ya Tangazo la Zabuni
  • Sports
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Simanjiro Bomani street-Orkesumet

    Sanduku la Posta: P.o Box 9596,Orkesumet,Simanjiro,Manyara,Tanzania

    Simu: Tel:027-2552225

    Simu: +255-758350936

    Barua pepe: ded@simanjirodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za siri
    • Kanusho
    • Website Map

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa