• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • People of Simanjiro
      • Hali ya Hewa
      • Economic Activities
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Moto
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Law
      • Procurement and supply
      • Bees
      • Election
      • ICT
    • Idara
      • Administration and Management
      • Agriculture and Irrigation
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Health
      • Land,Natural Resources and Environment
      • Community Development
      • Finance and Trade
      • Works and
      • Envirnment and Cleanliness
      • Water
    • Departiment/Units Activities
    • Linki ya Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mineral Extraction
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Mipango na Mazingira
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • By Laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Report
  • Kituo cha Habari
    • Notice to the Public
    • National and Office gallery
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Kilimo

SEKTA YA KILIMO

Idara ya kilimo ina jukumu la kuhamasisha uzingatiaji wa kanuni za kilimo bora, utumiaji sahihi wa pembejeo za kilimo, kutoa elimu ya hifadhi ya chakula pamoja na kuhakikisha wakulima wanaunganishwa na masoko ya mazao yao bila kulanguliwa. Idara hii pia husimamia miradi mbalimbali ya maendeleo inayohusu umwagiliaji, ushirika pamoja na matumizi endelevu ya rasilimali za kilimo na miundombinu yake. Wilaya ya Simanjiro ina jumla ya eneo la kilimo lipatalo ekari 446,000 na eneo linalotumika ni 244,000 kwa mazao ya chakula na biashara. Kati ya ekari zinazolimwa, ekari 26,375 zinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na zinazotumika hadi sasa ni ekari 7,725. Mazao yanayolimwa ni yale ya mboga mboga na nafaka kama mpunga, mahindi na maharage.

Wilaya ina miradi mikubwa ya umwagiliaji inayofadhiliwa na JICA kwa kushirikiana na serikali ya Tanzania ambayo inagharimu kiasi cha Tsh. 1.8bil. mchanganuo wa miradi hiyo katika skimu za Ngage, Lemkuna na kambi ya Chokaa ni kama inavyooneshwa kwenye jedwali hapa chini.

Jedwali namba 3. Miradi ya Umwagiliaji Ngage, Lemkuna na Kambi ya Chokaa

S/N
JINA LA MRADI
UTEKELEZAJI
FEDHA ILIYOIDHINISHWA
FEDHA ILIYOTUMIKA
MAONI
1
Skimu ya umwagiliaji Ngage
  • Mfereji Mkuu umesakafiwa urefu wa meta 3600 sawa na asilimia 90
  • Zege limemiminwa katika mfereji Mkuu urefu wa meta 3800
  • vigawa maji 8 vimejengwa
  • vivuko 2 vimejengwa 
Kwa ujumla kazi imefikia asilimia 88
Tshs. 698,000,000/=
Tshs. 519,840,000/=
Mvua zilizokuwa zikinyesha zimekuwa zikizuia ujenzi wa mradi
2
Skimu ya umwagiliaji Lemkuna
  • Mfereji wa kati umesafishwa kwa urefu wa meta 1,250 kati ya meta 2,800
  • Zege limemiminwa na kujengwa kwa urefu wa meta 470
Kwa ujumla kazi imefikia kiasi cha asilimia 11.5
Tshs. 569,000,000/=
Tshs. 66,338,376/=
Kasi ya mkandarasi kutekeleza  mradi ni ndogo sana ikilinganishwa na muda uliobaki.  Kikao cha Site Meeting kilichofanyika tarehe 11/04/2018 kimemtaka mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi na kuwa hakutakuwa na muda mwingine wa kumuongezea kukamilisha kazi Mei 2018
3
Skimu ya Umwagiliaji Kambi ya Chokaa
  • Mabomba ya zege yamejengwa na kulazwa katika mfereji kwa asilimia 55.9
  • Mfereji mkuu umechimbwa kwa urefu wa meta 40
Kwa ujumla kazi iliyofanyika ni sawa na asilimia 30.9
Tshs. 629,000,000/=
Tshs. 86,010,185/=
Utekelezaji wa mradi umekuwa na changamoto kubwa ya muelekeo wa mfereji. Wananchi wanalalamika kuwa njia ya sasa haitawanufaisha kwani mfereji unaambaa na mto. Wanataka usanifu ufanyike upya ili muelekeo wa mfereji ubadilishwe ili uweze kumwagilia maeneo yenye mashamba mengi.

Katika kipindi cha mwaka 2017/18 baada ya kuona hatua za ufanisi wa mradi wa skimu ya Ngage, wafadhili wa miradi hii yaani JICA wameamua kuongeza kiasi cha fedha kuboresha zaidi skimu hii na tayari zabuni zimeshatangazwa na ofisi ya kamishna wa Tume ya Umwagiliaji kanda ya kati kwenye gazeti la Dailynews la tarehe 12 Aprili 2018.

 

Matangazo

  • No records found
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro yaadhimisha siku ya Mapinduzi 12.1.2021 kwa upandaji wa miti

    January 12, 2021
  • UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI WILAYANI SIMANJIRO

    November 11, 2020
  • Ona vyote

Video

BILIONEA LAIZER AKABIDHI SHULE ALIYOIJENGA KWA SERIKALI
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Matokeo kidato cha nne 2020/2021
  • Matokeao darasa la nne 2020/2021
  • Matokeo kidato cha pili 2020/2021
  • Mission and Vision
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Simanjiro Bomani street-Orkesumet

    Sanduku la Posta: P.o Box 9596,Orkesumet,Simanjiro,Manyara,Tanzania

    Simu: Tel:027-29707889

    Simu: +255-758350936

    Barua pepe: ded@simanjirodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za siri
    • Kanusho
    • Website Map

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa