• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • People of Simanjiro
      • Hali ya Hewa
      • Economic Activities
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Moto
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Law
      • Procurement and supply
      • Bees
      • Election
      • ICT
    • Idara
      • Administration and Management
      • Agriculture and Irrigation
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Health
      • Land,Natural Resources and Environment
      • Community Development
      • Finance and Trade
      • Works and
      • Envirnment and Cleanliness
      • Water
    • Departiment/Units Activities
    • Linki ya Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mineral Extraction
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Mipango na Mazingira
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • By Laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Report
  • Kituo cha Habari
    • Notice to the Public
    • National and Office gallery
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Viwanda

HALI YA VIWANDA WILAYANI SIMANJIRO.

Wilaya ya simanjiro ina jumla ya viwanda  421 vidogo, vya kati na vikubwa. Viwanda vinanyofanya kazi ni 415 na thamani ya viwanda hiyo inakadiriwa kuwa ni Tsh.4,921,900,000.00 ikiwa na jumla ya wafanyakazi 1,922. Aidha kwa sasa Wilaya ina jumla ya viwanda vipya vitano (5) ambavyo vipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji vyenye thamani ya jumla ya Tsh.4,092,600,000 na vitaweza kuajiri wafanyakazi wapatao 313 kama jedwali linavyonyesha hapa chini.

Jedwali namba 6. Orodha ya viwanda vipya Simanjiro 

Kiwanda

Kadirio la Mtaji

Kadirio la Watumishi

Hali ilivyo sasa

Kiwanda cha Unga na Chakula cha Mifugo –Orkesumet
40,000,000.00
06
Kitaanza April, 2018
Kiwanda cha Mikate – Mirerani
50,000,000
08
Kimeanza kazi 18-11-2017
Graphite Platimun –Naisinyai
1,500,000,000
150
Ujenzi wa majengo unaendelea. Kiwanda kitaanza kufanya kazi mwezi Agost 2018
God Mwanga Gem – Endiamutu
2,500,000,000
150
Mashine zinaendelea kufugwa. Kiwanda kitaanza kufanya kazi mishoni mwa mwezi April, 2018.
Mashine ya Kusaga  Nafaka Mirerani
2,600,000.
2
Kimeanza 17/11/2017
JUMLA
4,092,600,000
313
 

5.1 Mikakati ya kujenga viwanda vipya na kufufua viwanda vilivyokufa

Halmashauri imeweka mikakati ya kujenga na kufufua viwanda kumi na tano (15). Aidha, Wilaya imeunda kamati ya kuhamasisha ujenzi wa viwanda vipya na ufufuaji wa viwanda vilivyokufa. Mikakati hiyo ni pamoja na;

Kila kijiji kimeagizwa kutenga ekari ishirini (20) kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda ambapo hadi kufikia Aprili 2018 vijiji kumi na tatu (13) vimeshatenga maeneo hayo sawa na ekari 260. Vijiji hivyo ni Lemkuna, Loiborsoit B, Gunge,  Msitu wa Tembo Mji wa Orkesumet, Londoto, Einoti, Engonongoi, Komolo, Nadonjukin, Losinyai, Oljoro No.5 na Kimotorock.

Halmashauri kupima maeneo hayo, kuyaandalia hatimiliki na kuhamasisha wananchi kuyatumia kwa ajili ya viwanda kwa ubia na wawekezaji wa maeneo yao.

Eneo lenye ukubwa wa ekari 35 limetengwa katika mji mdogo wa Orkesmet kwa ajili ya viwanda mchanganyiko  

Kualika wadau wa maendeleo kutoka sekta binafsi ili washiriki katika utekelezaji wa mikakati ambayo wilaya imeweka. Kikao cha kwanza cha wadau kimefanyika tarehe 10.3.2018 na wadau mbalimbali wameonesha nia ya kuwekeza kwenye maeneo ya viwanda vya kusindika nafaka wakiratibiwa na TCCIA wilaya ya Simanjiro.

Kuunda Task force inayoongozwa na Mkuu wa wilaya kufanya vikao vya mara kwa mara (kila wiki) ili kuweka mikakati mipya na kutathmini mikakati iliyowekwa na kuiboresha.

Viwanda vilivyokuwepo ambavyo vimekufa au vimeacha kuzalisha vifuatiliwe na task force ili kuona uwezekano wa wadau wengine kuvifufua na kuviendeleza. Mfano mzuri ni viwanda vilivyokuwa katika eneo la Rotiana Naberera. Viwanda hivi (Nyama, maziwa, asali, Mkaa) vinaweza kufufuliwa kwa jitihada za pamoja kati ya Serikali na wadau wa maendeleo wenye nia ya kuendeleza viwanda hivyo.

Kufanya uhamasishaji kupitia mikutano ya wananchi na vyombo vya habari kutangaza fursa za uwekezaji wa viwanda zilizopo. Tayari Mkuu wa Wilaya amepata fursa ya kutangaza masuala ya viwanda kwenye radio Terrat, Kili FM pamoja na kufanya mahojiano na vyombo mbalimbali kama ITV, Channel Ten na TBC kuhusu fursa hizo wilayani. Kauli mbiu inayotumika ni “Simanjiro yetu viwanda vyetu”. 

Matangazo

  • No records found
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro yaadhimisha siku ya Mapinduzi 12.1.2021 kwa upandaji wa miti

    January 12, 2021
  • UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI WILAYANI SIMANJIRO

    November 11, 2020
  • Ona vyote

Video

BILIONEA LAIZER AKABIDHI SHULE ALIYOIJENGA KWA SERIKALI
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Matokeo kidato cha nne 2020/2021
  • Matokeao darasa la nne 2020/2021
  • Matokeo kidato cha pili 2020/2021
  • Mission and Vision
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Simanjiro Bomani street-Orkesumet

    Sanduku la Posta: P.o Box 9596,Orkesumet,Simanjiro,Manyara,Tanzania

    Simu: Tel:027-29707889

    Simu: +255-758350936

    Barua pepe: ded@simanjirodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za siri
    • Kanusho
    • Website Map

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa